Ayatullah Reza Ramezani
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt AS ametoa wito kwa nchi za Kiislamu ziishinikize serikali ya Nigeria imueachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472301 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25