IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu wengi duniani, alisema Sheikh Khairuddin Ali al-Hadi, mwanazuoni mashuhuri kutoka Iraq.
Habari ID: 3481639 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
Ayatullah Reza Ramezani
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt AS ametoa wito kwa nchi za Kiislamu ziishinikize serikali ya Nigeria imueachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472301 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25